Jumatatu, 8 Desemba 2014

Taarifa kwa vyombo vya habari:



Mwenyekiti wazalendo Taifa Ndg. Daud Mrindoko afanya uteuzi wa na fasi zifuatazo:-



1: Ndg. Mchungaji Prince D. Emmanuel- Katibu Habari na Maelezo Mkoa wa KILIMANJARO.

2: Ndg. Abdillah Zuber- Katibu Elimu na Jamii Mkoa wa Kilimanjaro.

3: Ndg. Happyness M. Kipokola- Katibu Jinsia na Watoto Mkoa wa Kilimanjaro.



Kutona na uteuzi huo umefanya safu ya uongozi katika Taasisi ya wazalendo mkoa wa kilimanjaro kukamilika kwa nafasi zote.



Taasisi ya wazalendo Taifa inawapongeza kwa wale wote wliopata uteuzi huo ni inawatakia majukumu mema.





Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa.



Hassan husein- Katibu

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget