Jumatatu, 22 Desemba 2014
22/12/2014
Inapenda kutoa taarifa kuwa uongozi wa mkoa wa Lindi umepata uongozi wake katika nafasi zote.
Nafasi hizo ni kama zifuatazo:-
1: Ndg. Faraji Ramadhani - Mwenyekiti
2: Ndg. Mwanja Ibadi - Katibu
3: Ndg. Said Hamdani - Katibu Habari na Maelezo
4: Ndg. Juma Mweru - Katibu Hazina na Maadili
5: Ndg. Martina Ngulumbi - Katibu Elimu na Jamii
6: Ndg. Cosma Bull - Katibu Jinsia na Watoto
Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa
Ndg. Hassan Husein
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni