Jumatatu, 22 Desemba 2014




22/12/2014

Inapenda kutoa taarifa kuwa uongozi wa mkoa wa Lindi umepata uongozi wake katika nafasi zote.

Nafasi hizo ni kama zifuatazo:-

1: Ndg. Faraji Ramadhani - Mwenyekiti
2: Ndg. Mwanja Ibadi - Katibu
3: Ndg. Said Hamdani - Katibu Habari na Maelezo
4: Ndg. Juma Mweru - Katibu Hazina na Maadili
5: Ndg. Martina  Ngulumbi - Katibu Elimu na Jamii
6: Ndg. Cosma Bull - Katibu Jinsia na Watoto




Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa

Ndg. Hassan Husein

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget