Jumamosi, 29 Novemba 2014

Mabaki ya helcopter iliyoanguka maeneo ya Moshi bar- Ukonga wilayani Ilala


Helcopter mali ya serikali wizara ya mali asili yaanguka maeneo ya moshi bar mombasa jijini Dar es salaam na kuua watu wanne waliokuwepo ndani humo na kuangukia nyumba zilizokuwepo maeneo hayo.



Baadhi ya picha za matukio ya ajali hiyo ya helcopter hiyo..



 Baadhi ya marubani waliofariki waliokuwepo ndani ya helcopter iliyopata ajali
 Mabaki ya helcopter

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget