Jumatano, 17 Septemba 2014

Ajali imetokea hapa daraja la kifaru
Himekuwa ya Ajabu ajabu ni Bus moja la Kilenga limegonga nyuma ya Gari lingine la Kilenga majira ya 10:34 am..
Ila kutoka na Trafiki kufika na kuangalia hali iko nzuri kwa Abiria wakapima na kuwaruhusu wafike Mjini Moshi....
Mtoa Habari akiongea na MTANZANIA JITAMBUE:-Amesema anawaomba Madreva wa Mabus wawe makini katika uendeshaji wa mabus kwani hii Ajali ni ya kizembe Mno...Ila anashukuru kwani hakuna Madhara yaliyojitokeza

Tumeruhusi niko ndani kwenye bus
tayari ndo tumeruhusiwa tunaondoka

Wenu Mtoa Habari Mwkt Wazalendo Mkoa Shinyanga-Charles Mbaga
Ni mmoja wapo wa Abiria katika Moja wapo ya BUS LA KILENGA

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget