Mke wa Sugu avaa nepi za kizungu kwenye Birthday yake iliyofanyika mbele ya kadamna na kutokuwa na Aibu kabisa...Kweli ukishangaa ya Nabii Mussa utakutana ya Furauni...Kweli kazi ipo na mpaka tutazeeka tutaona mengi mno...Huyu ni Mke wa Mbunge ambaye tunategemea atamshauri Mhe.Mbunge kuchangia maendeleo sasa hatujui atamshauri nini..Tumepitia kwa jamii kuwauliza wananchi kuhusu Hili wameshikwa butwaa na kusema si mke wake itakuwa ni kimada tu awez kuwa mke...
Wako Mtanzania Jitambue...
Wako Mtanzania Jitambue...
0 maoni:
Chapisha Maoni