Jumapili, 7 Desemba 2014



TAASISI YA WAZALENDO TANZANIA


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tarehe 07/12/2014.

Mwenyekiti wa Wazalendo Taifa Ndg. Daud Mrindoko amewateua viongozi mbali mbali wa Taasisi ya wazalendo Taifa.

1: Ndg Dkt. Shabani Mohammed- Katibu wazalendo idara ya nchi za nje(kimataifa) Taifa.

2: Ndg. Abdallah Chavula- Katibu wazalendo Baraza la Wazee Taifa Elimu na Jamii.

3: Ndg. Patrick A. Massanja- Mwenyekiti wazalendo Mkoa wa GEITA.

4: Ndg. Mullowellah A. Mtendah- Mwenyekiti wazalendo Mkoa wa MTWARA.

5: Ndg. Egno L. Ndwango- Katibu wazalendo Mkoa wa MTWARA.

6: Ndg. Bakari Chijumba- Katibu Habari na Maelezo Mkoa wa MTWARA.

7: Ndg. Sospeter C. Magumba- Katibu Hazina na Maadili Mkoa wa MTWARA.

8: Ndg. Jerry M. Bias- Katibu Elimu na Jamii Mkoa wa MTWARA.

9: Ndg. Pendo M. Nanjama- Katibu Jinsia na Watoto Mkoa wa MTWARA.

10: Ndg. Andrew M. Lupili- Katibu wazalendo Habari na Maelezo Mkoa wa SHINYANGA.

11: Ndg. Mweya W. Sauti- Katibu Hazina na Maadili Mkoa wa SHINYANGA.

12: Ndg. Happy Katamika- Katibu wazalendo Jinsia na watoto




Imetolewa na 
Idara ya Habari na Maelezo Taifa:


Hassan Husein
Katibu

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget