Alhamisi, 4 Desemba 2014






Mwenyekiti wa Wazalendo Taifa Ndg. Daud Mrindoko afanya uteuzi wa nafasi mbali mbali za Taasisi ya Wazalendo Taifa

Nafasi hizo ni kama ifuatavyo:- 

1: Ndg. Dkt. Anthony Diallo- Katibu wazalendo Baraza la wazee Maelezo na Habari Taifa

2: Ndg. Richard Kasesela- Katibu wazalendo Baraza la wazee Hazina na Maadili Taifa

3: Ndg. Juma Raibu- Katibu wazalendo Hazina na Maadili Mkoa wa Kilimanjaro

4: Ndg. Robert Gwanchele- Katibu wazalendo Maelezo na Habari Mkoa wa Mwanza



Imetolewa na Katibu wa Habari na Maelezo

Ndg. Hassan Husein
 

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget