TAASISI YA WAZALENDO TANZANIA
Taarifa kwa vyombo vya habari
UTEUZI WA NAFASI.
Mwenyekiti wa wazalendo Tanzania Ndg. Daud Mrindoko ametangaza nafasi za uteuzi mbali mbali katika Taasisi ya wazalendo.
1: Ndg. Ahmed Makame - Mwenyekiti wazalendo mkoa wa SINGIDA
2: Ndg. Monalisa J. Ndalla - Mwenyekiti wazalendo Wilaya ya Kigoma Mjini
3: Ndg. Theresia Mkelemi - Mwenyekiti wazalendo Chuo cha Iringa(Tumaini).
Taasisi ya wazalendo Tanzania inawatakia kila la kheri katika utekelezaji wenu wa majukumu haya mapya.
©Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa
Hassan husein
Katibu
26/12/2014
26/12/2014
0 maoni:
Chapisha Maoni