Ijumaa, 26 Desemba 2014

TAASISI YA WAZALENDO TANZANIA
Taarifa kwa vyombo vya habari
UTEUZI WA NAFASI.
Mwenyekiti wa wazalendo Tanzania Ndg. Daud Mrindoko ametangaza nafasi za uteuzi mbali mbali katika Taasisi ya wazalendo.
1: Ndg. Ahmed Makame - Mwenyekiti wazalendo mkoa wa SINGIDA
2: Ndg. Monalisa J. Ndalla - Mwenyekiti wazalendo Wilaya ya Kigoma Mjini
3: Ndg. Theresia Mkelemi - Mwenyekiti wazalendo Chuo cha Iringa(Tumaini).
Taasisi ya wazalendo Tanzania inawatakia kila la kheri katika utekelezaji wenu wa majukumu haya mapya.
©Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa
Hassan husein
Katibu
26/12/2014

Related Posts:

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget