Waasi wa Shia wametangaza kutwaa
uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais
na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais.
Wahouthi hao uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais
na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais.
walitangaza hayo katika mkutano wa siasa walipokuwa na jeshi na wakuu wa
makabila katika ikulu ya nchi katika mji mkuu, Sanaa.
Waasi wa houth |
Rais Mansour Abdrabbuh Hadi na serikali yake walijiuzulu mwezi uliopita baada ya waasi hao kuthibiti mji wa Sanaa.
0 maoni:
Chapisha Maoni