Jumamosi, 7 Februari 2015

                                  

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa
uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais
na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais.
Wahouthi hao
walitangaza hayo katika mkutano wa siasa walipokuwa na jeshi na wakuu wa
makabila katika ikulu ya nchi katika mji mkuu, Sanaa.



Waasi wa houth
Tukio hilo linajiri baada ya mazungumzo yaliyoongozwa na umoja wa mataifa ya kukomesha mzozo wa Yemen kusambaratika.

Rais Mansour Abdrabbuh Hadi na serikali yake walijiuzulu mwezi uliopita baada ya waasi hao kuthibiti mji wa Sanaa.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget