Jumamosi, 20 Septemba 2014

Yanga yapigwa na walima Miwa wa Morogoro....Washabiki wa yanga hawakuamini yanayotokea uwanjani huku Mchezaji wao mahiri JAJA akiwa anakosa magoli km Vile miguu imefungwa mawe...Watani wao Simba amabao Mashabiki waliokuwepo uwanjani wanasema yanga ililambishwa Sukari guri wakaona ni Tamu sasa wanaipata uchungu wakiwa uwanjani...MTANZANIA JITAMBUE akimsikiliza Mshabiki wa MTIBWA anasema kwao YANGA c timu tishio mpk wamewapiga 2-0 Na JAJA wao kwani kwetu JAJA sasa Sisi tunaye JUJU...

MPAKA MWISHO WA DAKIKA 90
YANGA O-2 MTIBWA
KWA MANTIKI HIYO MTIBWA NDIYO ALIYEIBUKA MSHINDI....

Kauli za kishujaa za Mashabiki wa YANGA...
YANGA MSIOGOPE KUFUNGWA KWANI KAFUGWA BABU SEYA, NA BADO ANAENDELEA KUFUNGWA.....NAIPENDA YANGA!!!!!

Mleta habari wenu kutoka MOROGORO-MTANZANIA JITAMBUE

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget