Jumamosi, 13 Septemba 2014

Leo nimetimiza ahadi ya ombi la kuwapatia SEMINA ya UJASIRIAMALI wananchi wenzangu wa kata niliyozaliwa ya Mchikichini Wilayani ILALA. Namshukuru sana Mhe. Mwenyekiti wa CCM WIlaya ya ILALA Bw. Assah Simba kwa kutufungulia Semina hii pamoja na Bw. Paul Mashauri kwa kutoa mada ya Ujasiriamali kwa Vijana! Nawashukuru sana CCM kata ya Mchikichini kwa ushirikiano wao!

ILALA ni yote sote!
Tunaamini kuwa Tukipata viongozi vijana km MRISHO GAMBO ni Faida kwa vijana kwani anajitolea kwa ajili ya Wilaya atokako naamini anapanda kwao na c mkataa kwao...Hii semina imewafungu mno wana ILALA...

WENU MLETA HABARI MTANZANIA JITAMBUO KUTOKA JIJINI DAR..

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget