Jumapili, 14 Septemba 2014

Kutokana na kipigo kilitokea kwa YANGA KUWAPIGA AZAM BILA HUTUMA kwa sasa habari ya Mjini imekuwa nu JAJA....
WATOTO WAMJINI WANASEMA MWISHO UZEE CHALINZE MJINI BABY...
NDIYO IMEKUWA---OKWI MWISHO CHALINZE MJINI KILA MTU JAJA...HII NDIYO HABARI YA MJINI KWA SASA..

MAHOJIANO HAYA YALIKUWA MTANZANIA JITAMBUE NA MSHABIKI WA YANGA MAARUFU ALLY SIX ambaye alitoa mpya hii jana baada ya kumalizika kwa mpira wa AZAM NA YANGA...
Wenu Mtanzania Jitambu  kutoka Jiji Dar

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget