Jumapili, 14 Septemba 2014

[23:29, 13/09/2014] WILLIAM SWAI ABDUL KIGAMBONI:
Alikupo mh six,farida,fety me mishi rusma,filbt sumaye njano 5 iren asmine hamxa majuto naisi ndo hao kaka

[07:07, 14/09/2014] WILLIAM SWAI ABDUL KIGAMBONI:
MAREHEMU Mwalim Dainess Swai

[07:19, 14/09/2014] WILLIAM SWAI ABDUL KIGAMBONI: Ndugu Zangu jamaa na marafiki zangu napenda kutoa shukran zangu za dhati kubwa kwa ushirikiano nilioupata toka kwa ongea na sumaye mzalendo toka dada yangu anaumwa mwalim dainess swai hadi mauti inamfika ongea na sumaye mxalendo wamenipa msaada mkubwa sana toka mwanzo hadi mwisho wa safari ya dada yangu walikuja na kunifariji na kushughulikia taratibu zote za mazishi napenda kusema asante sana ongea na sumaye mxalendo sina cha kuwalipa ila mungu atawalipa na pia natoa shukran zangu za dhati kwa mhe sumaye mzalendo kwa kuwa pamoja nasi toka mwanxo hadi mwisho nashukuru sana mhe waxiri mkuu mstaafu kwa moyo wako na kuwa nasi mwanxo hadi mwisho asanteni sana wana ongea na sumaye mzalendo pamoja tunaweza amani na upendo.Nashukuru sana WAZALENDO TANZANIA KWA KUNIPA USHIRIKIANO MKUBWA NA KUONYESHA UPENDO TOKA DADA YANGU ANAUMWA MPK ALITOTUTOKA WALIKUWA NAMI NA PIA NIFIKISHE SHUKURANI ZANGU KWA MWENYEKITI WAZALENDO TANZANIA NDG.MRINDOKO BABU MWIDADI DAUDI kwa Kuweza kutuonganisha sote na kuwa ndugu Moja na Umoja wetu naomba kwa Mungu uzidi kuongezeka...
Pia napenda kupeleka Shukurani za Pekee kwa Mhe.FREDERICK SUMAYE-WAZIRI MKUU MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUWA KARIBU NASI WAZALENDO WA TANZANIA MWENYEZI MUNGU AMBARIKI SANA NA AMJAALIE MEMA
WENU ABDUL 'WILLIAM'SWAI -KIGAMBONI........
YAMERIPOTIWA NA MTANZANIA JITAMBUE KUTOKA KIGAMBONI

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget