Jumamosi, 6 Septemba 2014


Wakati wa Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili 1964, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais wa Zanzibar Abeid Amaan Karume ambao sasa wote ni marehemu,  walipanda katika shimo moja miembe miwili mmoja kutoka Zanzibar na mwingine kutoka Tanganyika. Miembe hiyo imekuwa na kustawi pamoja na kufanya shina moja 'through grafting' .Leo hii mti huo wa mwembe umestawi vyema katika bustani ya Ikulu, Dar es Salaam, kama unavyoonekana leo Aprili 26, 2014 ambayo ni Siku ya miaka 50 ya Muungano.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget