Jumanne, 16 Septemba 2014

Traffic Agongwa na gari aina DCM leo akiwa kazini,point mbagala rangi 3,aliwahisha Temeke Hospital na baadae kuhamishiwa Muhimbili. Baada ya kufuatilia kwa ndani zaidi aliepata ajali ni WP 2806 Cpl Riziki, chanzo cha habari kinasema hali yke c mbaya sana.
Mleta habari wenu MTANZANIA JITAMBUE-DAR

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget