Traffic Agongwa na gari aina DCM leo akiwa kazini,point mbagala rangi 3,aliwahisha Temeke Hospital na baadae kuhamishiwa Muhimbili. Baada ya kufuatilia kwa ndani zaidi aliepata ajali ni WP 2806 Cpl Riziki, chanzo cha habari kinasema hali yke c mbaya sana.
Mleta habari wenu MTANZANIA JITAMBUE-DAR
Jumanne, 16 Septemba 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni