Huyu binti bana alikuwa anaishi nahuyo mama hapo nyumbani kwa miaka mitano akapata ujauzito mama mwenye nyumba akamrudisha nyumbani kwao , baada ya muda kidogo yule binti akampigia tena yule maama simu mama maisha ni magummu, kwa kuwa yule mama alikuwa anampenda akamwambiia rudi tuu nitakulea wewe na mtoto wako, basi ni wiki tu tangu arudi hapo nyumbani jana alianguka jikoni watu kwenda kumuangalia wakagundua amekunywa pombe,
Leo akashindwa kabisa kufanya kazi na saa saba mchana wa leo ndo akachukua maamuzi hayo
Huyo ndo mama mwenye
Nyumba Amemkuta Bafuni kajinyonga..
Huyu ni mtoto ambaye hyo dada alirudi naye kwa mama RAZI
Tukio limetokea kata ya pasua leo mchana..
Akiongea na MTANZANIA JITAMBUE amesema ameshitushwa sana na kusema hii hatua aliyochukua si nzuri na pia hakujua kilicho msibu huyu Mfanyakazi wake na pia angepaswa kunieleza kilicho msibu ila naona Shetan alimpitia..Mwenyezi Mungu amsamehee.....!!!
Wenu Mtanzania Jitambue-Jerry Nzowa
Jumanne, 16 Septemba 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni