Jumamosi, 15 Novemba 2014

Toka Arusha, 15/11/2014.
Mratibu wa semina Ndg. Nickson Mmanyi akitoa ufafanuzi wa jambo wakati wa semina hiyo
Mratibu wa safari za viongozi wa wanafunzi vyuo vikuu Tanzania Ndg. Nickson Mmanyi aendesha semina ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu toka Arusha.

Semina hiyo ilijumuisha Marais, mawaziri wakuu na maspikaa wa  vyuo vikuu mbalimbali toka mkoani Arusha. Kwa mujibu wa muandaaji huyo anasema " semina hii ina lengo la kuwaelimisha nafasi ya wasomi vijana uchaguzi 2015, na kufafanua mambo mbalimbali ya siasa ya nchi(contemporarily incidents).."



Ndg. Hassan Kisauti akitoa ufafanuzi wa jambo kwa viongozi hao wa serikali za wanafunzi vyuo vikuu
Viongozi wa wanafunzi wakifuatilia kwa ukaribu semina elekezi hiyo

 Ndg. Nickson Mmanyi wa kwanza kulia akiwa na Mshiriki wa semina nje ya ukumbi


Mratibu akifanya mahojiano na waandishi wa habari mara baada ya semina hiyo

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget