Katika hali ya kuonekena chama cha mapinduzi kuendelea kuaminika hasa katika utekelezaji wa ilani yake, Wilaya ya Rungwe mkoani mbeya imepita bila kupingwa katika vijiji 47 na pia kupata vitongoji 207 bila kupingwa.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni