Alhamisi, 13 Novemba 2014



Msafara wa Mlezi wa ccm mkoa wa kilimanjaro ukiingia kijiji cha Mikocheni kata ya TPC wilayani moshi vijijini








Msafara wa Mlezi wa ccm mkoa wa kilimanjaro ukisisimamishwa na wananchi kwa furaha ya kutaka kumsalimia





 Maandamano ya wananchi wakimsindikiza Mlezi wa CCM Mkoa wa kilimanjaro Dkt. Emmanuel Nchimbi kuelekea katika mkutano wa hadhara











Dkt. Emmanuel Nchimbi wa kati akiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa kilimanjaro  kulia kwake na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Moshi vijijini kushoto kwake wakisindikizwa kwa maandamano na wananchi
Mwananchi akimsalimia Mlezi wa CCM Mkoa wa kilimanjaro kwa furaha ya kumuona
Mlezi wa CCM Mkoa kilimanjaro akabidhiwa fimbo ya heshima na kiongozi wa kimila toka kwa LWAIGONANI wa kijiji hicho
 Akivishwa shuka ya kimila kumpa heshima ya juu Mlezi wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro
Akiwa katika vazi rasmi alilopewa na Lwaigoni kwa heshima ya kijiji hicho
Morans wakipita mbele ya mgeni rasmi kumpa heshima yake ya kimila
Mlezi wa CCM Mkoa wa kilimanjaro akishikana mikono na LWAIGONANI kuashiria umoja na mshikamano
 Wananchi wengi wa kijiji hicho wajitokeza katika mkutano huo wakiwa na kiongozi wao wa kimila wa kijiji hicho


 Baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wakiwa wanatizama kinachoendelea

Mlezi wa CCM mkoa wa kilimanjaro wakiwa pamoja na Katibu hamasa na chipukizi wilaya ya Moshi vijijini Ndg. Hassan Husein na LWAIGONANI


Picha ya pamoja ya viongozi mbali mbali 



Katibu wa UVCCM Mkoa wa kilimanjaro Ndg. Yassin Lema wa kati akiwa na
Katibu wa jumuiya ya wazazi wa mkoa wa kilimanjaro kushoto kwake na
Aliyewahi kuwa mbunge wa viti maalumu Mama Shally Raymond wakifuatilia mkutano


 

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget