Jumapili, 15 Machi 2015

Hivi karibuni mbunge mtarajiwa wa jimbo la vunjo Ndg. Innocent Melleck Shirima ameweza kutimiza ahadi kwa kutoa zawadi ya mipira kwa mshindi wa mechi ya kirafiki kati ya timu ya marangu ttc na wageni wao iliyofanyika tarehe 08.03.2015 katika viwanja vya marangu ttc.

Mechi hiyo iliisha kwa timu ya Marangu ttc kuibuka na ushindi wa magoli matano kwa matatu dhidi ya wageni wao.

Mh. Innocent Melleck akikabidhi ahadi yake ya mipira kwa mshindi wa kwanza
Mh. Innocent Melleck akikabidhi zawadi kwa mshindi wa pili
Mh. Innocent Melleck akiongea jambo na vijana
Mh. Innocent Melleck akipiga picha ya pamoja
Mh. Innocent Melleck akifurahia jambo na vijana


0 maoni:

Chapisha Maoni

Inaendeshwa na Blogger.

Machapisho Maarufu

Machapisho ya Karibuni

Recent Posts Widget