Mhe.Mboni Mhita ambaye ni Makamu Mwnyekiti UVCCM TAIFA pia ni Kiongozi wa Vijana Africa Mashariki akiongelea Maswala ya Vijana Africa.
Akiongea na MTANZANIA JITAMBUE Ameseme;-Ninaongelea Mpango kazi wangu nilio tengeneza kwa Ajili ya vijana wa Africa mashariki.
Hasa swala la Amani, Ajira, Elimu, Afya, Fursa za vijana kwenye nafasi za uongozi,Fursa sawa kwa watoto wa kike.na mpaka sasa nimeshaweza kuyafanya mengi mno,
Ninampongeza Rais Jakaya kwa kuhusisha vijana kwenye nafasi za maamuzi
Na nafasi za uongozi
Na kuwaasa Viongozi wengine waige huo mfano huo wa Rais Dr.Kikwete wa Tanzania ni Mfano kwa marais wa Afrika na kwa sasa na baadaye kwani ameleta ufumbuzi wa mambo mengi mno, Uko mfano wa juzi pia ameweza kuwatanisha Viongozi wa Sudani na hakika sote tumeweza kuona...
Napenda kusema vijana wenzangu tujitume na katika kufikiria nchi yetu na nchi za Afrika kwa jinsi gani tutaweza kutatua yetu na pia tusiwe vijana wa kuchagua kazi za kufanya kwani kazi pia tunaweza kuanzisha wenyewe, Tuondokane na Siasa za kimuamko za kichochezi kwani Siasa hizo huleta machafuko na hii Amani ni Tunu kwetu vijana tuepukane na Siasa za machafuko kwani tunakuja kuataabika ni Sisi Vijana/wanakimama na Watoto....!!
Wito wangu kwa vijana tuungane na kushirikiana katika kutatua yetu kwa Umoja na Uaminifu.Ahsante sana
Akiongea na MTANZANIA JITAMBUE Ameseme;-Ninaongelea Mpango kazi wangu nilio tengeneza kwa Ajili ya vijana wa Africa mashariki.
Hasa swala la Amani, Ajira, Elimu, Afya, Fursa za vijana kwenye nafasi za uongozi,Fursa sawa kwa watoto wa kike.na mpaka sasa nimeshaweza kuyafanya mengi mno,
Ninampongeza Rais Jakaya kwa kuhusisha vijana kwenye nafasi za maamuzi
Na nafasi za uongozi
Na kuwaasa Viongozi wengine waige huo mfano huo wa Rais Dr.Kikwete wa Tanzania ni Mfano kwa marais wa Afrika na kwa sasa na baadaye kwani ameleta ufumbuzi wa mambo mengi mno, Uko mfano wa juzi pia ameweza kuwatanisha Viongozi wa Sudani na hakika sote tumeweza kuona...
Napenda kusema vijana wenzangu tujitume na katika kufikiria nchi yetu na nchi za Afrika kwa jinsi gani tutaweza kutatua yetu na pia tusiwe vijana wa kuchagua kazi za kufanya kwani kazi pia tunaweza kuanzisha wenyewe, Tuondokane na Siasa za kimuamko za kichochezi kwani Siasa hizo huleta machafuko na hii Amani ni Tunu kwetu vijana tuepukane na Siasa za machafuko kwani tunakuja kuataabika ni Sisi Vijana/wanakimama na Watoto....!!
Wito wangu kwa vijana tuungane na kushirikiana katika kutatua yetu kwa Umoja na Uaminifu.Ahsante sana
Pia MTANZANIA JITAMBUE iliwasiliana kwa simu na Ndg.Nassoro Kimario nchini Tanzania na kuweza kuongea naye kuhusu kiongozi wa UVCCM TAIFA-Ndg.MBONI MHITA yeye Alisema;- UVCCM tuliona uwezo wake. Na sasa Africa Imetambua uwezo wake.na kuongezea ni Makamu Mwenyeiti ambaye ni wa mfano kwa sasa na baadaye kwenye Umoja wa Vijana Tanzania....!!!
Mahojiano hayo yamefanywa na Mtanzania Jatambue-Nchini Nairobi