Mwenezi
wa Chama cha Mapinduzi Moshi vijijini ,Hussein Jamal akizungumza
wakati wa kikao cha makatibu kata na makatibu wa matawi kilichofanyika
katika hotel ya King Size Himo.
Mwenyekiti
wa Makatibu katika jimbo la Vunjo ,Shaban Mwangi akisoma taarifa ambayo
inadaiwa kupikwa kwa lengo la kukivuruga chama hicho katika jimbo la
Vunjo.
Naibu
kamanda wa vijana wilaya ya Moshi vijijini ,Innocent Shirima
akizungumza wakati wa kikao hicho kilichokuwa na lengo la kurudisha hali
ya amani na umoja ndani ya chama cha mapinduzi jimbo la Vunjo.
Katibu
wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Moshi vijijini Miriam Kaaya
akizungumza wakati wa kikao hicho ambacho kilijadili pia tuhuma
zilizotolewa dhidi yake.
The Portuguese talked down his recent achievements by
saying his 2014-15 statistics "aren't so bad" and claims he'll never
tire of winning awards
Cristiano Ronaldo claims he is in the best form of his life after a blistering start to the season.
The 29-year-old has scored 23 times in 17 games this term as Real
Madrid have romped to the top of La Liga and already reached the last 16
of the Champions League.
Having enjoyed a stellar 2014 - blighted only by a World Cup group
stage exit with Portugal - the Champions League winner and Copa del Rey
victor was humble about his record-breaking efforts.
"Perhaps this is the best form I’ve ever been in but every year I try
to improve on the previous one," he told reporters as he picked up
Marca's Pichichi award for top goalscorer and the Alfredo Di Stefano
award for best player in 2013-14.
"There will come a time when I cannot improve but I will at least be
able to step up in terms of my figures. My statistics, in goals and
assists, aren’t so bad.
"I want to keep learning and working hard in the same way I have been doing up until now."
Ronaldo is favourite to beat the likes of Germany and Bayern Munich
goalkeeper Manuel Neuer, Argentina and Barcelona forward Lionel Messi,
and Netherlands and Bayern winger Arjen Robben to this year's Ballon
d'Or award in January, which would see him claim the accolade for the
third time in his career.
"Winning an award for a second or third time is always good," the
Seleccao skipper added. "My objective is always to win collectively,
with the team, but also individually.
"I work very hard to be able to reach the level needed to win every
kind of trophy. Playing football is what I enjoy and I will never tire
of winning things."
Ronaldo has been selected in Portugal's squad to face Armenia in
Friday's Euro 2016 qualifier before they clash with Argentina - and
Messi - in a friendly at Old Trafford on November 18.
Katibu wa CCM wilaya ya Moshi vijijini MIRIAM SANGIT KAAYA
Katika tukio lisilokuwa la kawaida Makatibu wa CCM toka jimbo la Vunjo wilayani moshi vijijini wamekanusha taarifa zilizokuwa zimezagaa katika vyombo vya habari kuwa Katibu huyo wa wilaya anampango wa kuigawa CCM.
Makatibu hao waliyasema hayo juzi Jumamosi tarehe 8/11/2014 mbele ya vyombo vya habari katika ukumbi wa Kingsize wilayani Moshi vijijini. Makatibu hao wa kata walitumia muda mwingi kukanusha habari hizo za uongo zilizosemwa na hayo magazeti.
Wakati hayo yakiendelea Katibu wa CCM wilaya moshi vijijini alifika eneo hilo la tukio na kupokelewa kwa shangwe na Makatibu hao wa kata huku wakimwimbia nyimbo za kumsifu.."wana imani na Miriam, oyaa oyaa"..
Makatibu hao wanamuelezea katibu huyo kama ni mkombozi wao katika jimbo la vunjo. Wamuahidi kumpatia ushirikiano wa hali ya juu Katibu wao wa wilaya, nakutoa karipio kali kwa wale wote ambao watazusha taarifa za uongo dhidi ya katibu huyo wa wilaya.
Kwa upande wake Katibu huyo wa wilaya alivyopewa nafasi aliendelea kutoa msimamo ule ule " najua wapo wanaopendezwa na msimao wangu wa kusimamia katiba na kanuni bila ya kumpendelea au kumuone yeyote yule, lakini pia kwa msimamo wangu huu wapo wasiofurahia. Mimi ni mtendaji na jukumu langu ni kusimamia katiba na kanuni pamoja kuzilinda"
Pia, Katibu huyo amewaasa kipindi hiki cha uchaguzi wanachama wote kushikamana " Nawaasa viongozi wenzangu tushikamane kweli, mana ushindi wetu utatokana na mshikamano wetu. Lakini kipindi hichi tuzipuuze habari za kutaka kutugawanya mana hazina tija kwetu"
Ijumaa Ethiopia ilitangaza kujitoa kuwa mwenyeji wa michuano hiyo iliyokuwa imepangwa kuanza Septemba 24 hadi Desemba 9
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA, limeiomba
Sudan kuandaa michuano ya Kombe la Chalenji inayotarajiwa kuanza
mwishoni mwa mwezi huu baada ya Ethiopia kujitoa, Goal imegundua.
Sudan ilitinga hatua ya fainali katika michuano iliyofanyaka Kenya
mwaka jana na wenyeji Harambee Stars’kuibuka na ushindi wa mabao 2-0
mfungaji akiwa Allan Wanga ambaye kwa sasa anaichezea timu ya El
Marreikh ya Sudan.
Kwa mujibu wa Mtandao wa Futaa.com umemnukuu Katibu Mkuu wa CECAFA,
Nicholas Musonye amethibitisha wanasubiri majibu ya ombi lao kutoka kwa
shirikisho la soka la Sudan ambayo wanatarajia kuyapata ndani ya wiki
hii.
Musonye amesema hakuna nafasi ya nchi kutuma maombi ya kuwa mwenyeji wa michuano hiyo baada ya Ethiopia kujitoa, hata hivo.
“Tumeiomba Sudan kuwa mwenyeji. Tumewaandikia barua na sasa
tunasubuiri majibu, na tunatarajia watatujibu kabla ya kufika mwishoni
mwa wiki hii.
Ijumaa Ethiopia ilitangaza kujitoa kuwa mwenyeji wa michuano hiyo
iliyokuwa imepangwa kuanza Septemba
24 hadi Desemba 9, mwaka huu kwa
sababu mbalimbali ambazo Musonye hakuwa tayari kuziweka wazi.
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kilimanjaro Ndg. Fredrick Mushi akihutubia mashabiki wa soka waliohudhuria uzinduzi huo wa ligi ya UVCCM CUP kata ya Makuyuni wilayani Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Moshi vijijini Ndg. Gulatoni Masiga akimkaribisha Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa kwa ajili ya kukagua timu zilizo uwanjani
Timu zikiwa uwanjani na mpambano ukiendelea wa kukata na shoka huku mashabiki lukuki wakifuatilia kwa ukaribu pambano hilo
Wa kwanza kushoto ni Mwemyekiti wa UVCCM Kata ya MAKUYUNI Ndg. Dicksoni Tarimo ambaye pia ni Mdhamini wa ligi hiyo akiwa sambamba na makada wa chama cha mapinduzi